Posts

Showing posts from September, 2017

VETIVER GRASS

Image
VETIVER GRASS  Vetiver Grass ni aina ya nyasi ndefu ambazo majani yake ni marefu, membamba na magumu. Vetiver Grass kwa jina la kisayansi zinajulikana kama " Chrysopogon zizanioides " na asili yake ni India. Vetiver Grass zinauwezo wa kukua mpaka sentimita 150 ambazo ni sawa na futi tano na mizizi yake inauwezo wa kwenda chini mita 2 mpaka mita 4 chini ya udongo. Mizizi yake ni membamba na imara na haina stolons wala rhizomes, Vetiver roots (mizizi) inauwezo wa kuvumilia ukame na kuzuia mmomonyoko wa udongo. Nchi zinazoongoza katika uzalishaji wa vetiver grass ni Haiti, India na  Indonesia.                FAIDA ZA VETIVER GRASS KATIKA MAZINGIRA Utumika kwenye kuwezeka nyumba za nyasi. Ni chakula cha mifugo na pia inatumika kama ladha (flavor) katika vinywaji vya maziwa kama vile (milkshakes) na (ice creams). Kama mimea mingine inahifadhi carbondioxide kutoka angani na kutoa oksijeni katika kitendo cha mmea kujitengenezea chakula chake kijulikanacho kama "Ph

MANGROVE TREES "(MIKOKO)"

Image
MANGROVE TREES "(MIKOKO)" Mangrove trees live along shores, rivers and estuaries in the tropics and subtropics. Mangroves are remarkably tough due to live on muddy soil but sometimes also grow on peat, coral rock and sand. They live in water up to 100 times saltier than most other plants can tolerate. Mangroves trees (mikoko) is capable of capture carbon, filter salt water, stop strong waves from ocean and provide fish breeding site. Mangrove trees in Tanzania its found alongside the coastal areas (shores) from Mtwara to Tanga and around Unguja, Pemba and Mafia Islands, but human activities such as charcoal making in the coastal areas lead destruction and disappearance of Mangrove vegetation along the shore of Tanzania.                             MITI YA MIKOKO   Mikoko ni aina ya miti ambayo inapatikana pembezoni mwa bahari ya hindi kuanzia pwani ya Mtwara mpaka Tanga na kuzunguka pwani ya Unguja, Pemba na Mafia katika nchi ya Tanzania. Mikoko ni mit