MANGROVE TREES "(MIKOKO)"
MANGROVE TREES "(MIKOKO)"
Mangrove
trees live along shores, rivers and estuaries in the tropics and
subtropics. Mangroves are remarkably tough due to live on muddy soil but
sometimes also grow on peat, coral rock and sand. They live in water up
to 100 times saltier than most other plants can tolerate. Mangroves
trees (mikoko) is capable of capture carbon,
filter salt water, stop strong waves from ocean and provide fish
breeding
site. Mangrove trees in Tanzania its found alongside the coastal areas
(shores)
from Mtwara to Tanga and around Unguja, Pemba and Mafia Islands, but
human
activities such as charcoal making in the coastal areas lead destruction
and
disappearance of Mangrove vegetation along the shore of Tanzania.
Mikoko
ni aina ya miti ambayo inapatikana pembezoni mwa bahari ya hindi
kuanzia pwani ya Mtwara mpaka Tanga na kuzunguka pwani ya Unguja, Pemba
na Mafia katika nchi ya Tanzania. Mikoko ni miti yenye faida kubwa sana
kwenye mazingira ya viumbe hai.
FAIDA ZA MIKOKO KATIKA MAZINGIRA YA VIUMBE HAI
Mikoko
ni aina ya miti ambayo inapatikana pembezoni mwa bahari ya hindi
kuanzia pwani ya Mtwara mpaka Tanga na kuzunguka pwani ya Unguja, Pemba
na Mafia katika nchi ya Tanzania. Mikoko ni miti yenye faida kubwa sana
kwenye mazingira ya viumbe hai.
FAIDA ZA MIKOKO KATIKA MAZINGIRA YA VIUMBE HAI
- Mikoko inasaidia kupunguza kasi ya mawimbi makubwa ya bahari ambayo yangeweza kufanya uharibifu katika maeneo ya pwani mwa bahari.
- Mikoko pia utoa mazingira mazuri ya samaki kuzaliana na kukwepa kasi ya mawimbi makali.
- Mikoko inauwezo wa kuifadhi hewa ya ukaa (carbondioxide) kutoka angani na kuzalisha oksijeni kupitia kitendo cha mmea kiitwacho "photosynthesis". Oksijeni inayozalishwa utumiwa na mwanadamu na viumbe hai wengine katika mfumo wa upumuaji .
- Mikoko inachuja maji ya chumvi na kuondoa 90% ya chumvi inayopatikana katika maji ya bahari na kuingia kwenye mizizi yake.
Email:johnkileo@outlook.com
Comments
Post a Comment